Friday 30 October 2015

MATOKEO KAMILI YA NAFASI YA URAISI TANZANIA 2015




                                                  Dk magufuli enzi za ujana wake


Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CCM John Pombe Magufuli ndiye rais mteule wa taifa la Tanzania baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili october 25


                                                   Dk.John Pombe Magufuri
Akitoa matokeo hayo mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa Magufuli, ambaye alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa leo, alijipatia kura 8,882,935 ikiwa ni aslimia 58.46 huku mpinzani wake wa karibu Edward Lowassa wa chama cha Chadema akijipatia kura 6,072,848 ikiwa ni asilimia 39.97 ya kura zote. Dkt Magufuli alizaliwa Oktoba 29,1959
                                           Mgombea wa chama pinzani Edward Lowasa



Matokeo ya uchaguzi wa urais Tanzania 2015
Jina Chama Kura Asilimia
Anna Mghwira ACT 98,763 0.65
Chifu Yemba ADC 66,049 0.43
John Magufuli CCM 8,882,935 58.46
Edward Lowassa CHADEMA 6,072,848 39.97
Hashim Spunda CHAUMA 49,256 0.32
Janken Kasambala NRA 8,028 0.05
Macmillan Lyimo TLP 8,198 0.05
Fahmi Dovutwa UPDP

No comments:

Post a Comment