Friday 1 January 2016

Nimekuwekea picha za moto uliowaka mjini Dubai usiku wa kuamkia mwaka mpya(+video)

Wachunguzi mjini Dubai wanajaribu kubaini chanzo cha moto uliozuka katika hoteli ya kifahari mkesha wa Mwaka Mpya na kujeruhi watu kadha.
Moto huo ulizuka katika ya kulipuliwa kwa fataki za kuukaribisha mwaka kwenye hoteli ya Address Downtown yenye ghorofa 63.
Watu waliokuwemo kwenye jumba hilo waliondolewa upesi.
Watu 16 hata hivyo wanaripotiwa walijeruhiwa
Wazima moto walijaribu usiku kucha kuzima moto lakini kufikia asubuhi moshi ulikuwa bado unafuka.
Kulipuliwa kwa fataki katika jumba la Burg Khalifa, jengo refu zaidi duniani, uliendelea kama ilivyopangwa, mita mia kadha kutoka eneo la tukio.
 Â The hotel also towers over the Souq Al Bahar, a popular shopping area with walkways that connect the Burj Khalifa and the Dubai Mall
Eyewitnesses say the fire took hold within about five minutes of starting, but there was not bang
The two buildings face each other - meaning many people will have been in their rooms with their unobstructed view, waiting for the fireworks to begin
One person had a heart attack and at least 14 others suffered minor injuries, according to the Dubai Media Office
            Mmoja wa majeruhi katika hatari hiyo
 One eyewitness described seeing people pushing each other out the way in their desperation to escape the hotel

 Tens of thousands have gathered in the area to watch the fireworks celebrating the New Year, but were told to evacuate when the fire took hold
Fataki The fireworks displays, which were taken place only a few hundred feet away, continued despite the building continuing to burn

 

No comments:

Post a Comment