Wachunguzi mjini Dubai wanajaribu
kubaini chanzo cha moto uliozuka katika hoteli ya kifahari mkesha wa
Mwaka Mpya na kujeruhi watu kadha.
Moto huo ulizuka katika ya kulipuliwa kwa fataki za kuukaribisha mwaka kwenye hoteli ya Address Downtown yenye ghorofa 63.
Watu waliokuwemo kwenye jumba hilo waliondolewa upesi.
Watu 16 hata hivyo wanaripotiwa walijeruhiwa
Wazima moto walijaribu usiku kucha kuzima moto lakini kufikia asubuhi moshi ulikuwa bado unafuka.
Kulipuliwa
kwa fataki katika jumba la Burg Khalifa, jengo refu zaidi duniani,
uliendelea kama ilivyopangwa, mita mia kadha kutoka eneo la tukio.
Mmoja wa majeruhi katika hatari hiyo
Friday 1 January 2016
Home
/
Unlabelled
/
Nimekuwekea picha za moto uliowaka mjini Dubai usiku wa kuamkia mwaka mpya(+video)
Nimekuwekea picha za moto uliowaka mjini Dubai usiku wa kuamkia mwaka mpya(+video)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment