Tuesday 27 October 2015

MATOKEO YA NAFASI YA URAISI YATANGAZWA


Vote
Tume yawakumbusha Watanzania ni nini chakuzingatia siku ya Upigaji Kura Oktoba 25-2015 











Tume ya taifa ya uchaguzi chini ya mwenyekiti wake Jaji Mstaafu Damiani Lubuva yaendelea kutangaza matokeo halisi  ya uchaguzi wa uraisi kutoka katika majimbo mbalimbali Tanzania bara pamoja na Zanzibar mpaka sasa Tume imefanikiwa kutangaza majimbo 63 kati ya majimbo yote  ya uchaguzi 264 .mshuka.blogspot.com inakupatia nafasi ya kufafahamu matokeo hayo popote pale ulipo.... 

 Matokeo ya uchaguzi jimbo la PERAMIHO mkoa wa RUVUMA




Matokeo ya uchaguzi jimbo la NANYAMBA mkoa wa MTWARA




Matokeo ya uchaguzi jimbo la MOSHI MJINI mkoa wa KILIMANJARO
 
Matokeo ya uchaguzi jimbo la MKINGA mkoa wa TANGA
 







Matokeo ya uchaguzi jimbo la KISARAWE mkoa wa PWANI
Wapiga  kura walioandikishwa    58,462
Waliopiga kura     38,012 :         65.02%   ya walio jiandikisha
Kura halali             38,012 :        65.02%   ya waliopiga kura
Kura zilizokataliwa    - :           0.00%   ya waliopiga kura


JINA LA MGOMBEA JINSIA CHAMA KURA ALIZOPATA ASILIMIA MAELEZO
1 ANNA ELISHA MGHWIRA KE ACT 235 0.62% Ya kura halali
2 CHIEF LUTALOSA YEMBA ME ADC 190 0.50% Ya kura halali
3 DKT. MAGUFULI JOHN POMBE JOSEPH ME CCM 24,086 63.36% Ya kura halali
4 LOWASA EDWARD NGOYAI ME CHADEMA 13,093 34.44% Ya kura halali
5 HASHIM RUNGWE SPUNDA ME CHAUMA 314 0.83% Ya kura halali
6 KASAMBALA JANKEN MALIK ME NRA 26 0.07% Ya kura halali
7 LYIMO MACMILLAN ELIFATIO ME TLP 22 0. 06% Ya kura halali
8 DOVUTWA FAHMI NASORO ME UPDP 46 0.12% Ya kura halali



No comments:

Post a Comment