Sunday 17 April 2016

77 Wafa katika tetemeko la ardhi Ecuador

A landslide destroyed part of a road in Minami, Japan after it struck the region yesterday. A scientist has warned the recent seismic activity could see a 'mega' earthquake in the future

 

Tetemeko la ardhi laua watu 77 Ecuador
Zaidi ya watu 77 wamefariki katika tetemeko la kubwa ardhi kuwahi kukumbwa Ecuador katika kipindi cha zaidi ya mwongo mmoja .


 
Makamu wa rais wa nchi hiyo ametangaza hali ya tahadhari katika mikoa sita nchini humo, huku maafisa wa huduma za dharura wamepelekwa kusaidia .
Maafisa katika kituo cha Marekani cha utafiti wa kijiologia wamesema tetemeko hilo la ardhi lilikuwa la kiwango cha 7.8 kwenye vipimo vya Richter.
 
Kitovu chake kilikuwa takriban kilomita 27 kutoka kwa mji wa pwani uitwao Muisne 
                            idadi ya watu waliojeruhiwa ni zaidi ya 600 
Kitovu chake kilikuwa takriban kilomita 27 kutoka kwa mji wa pwani uitwao Muisne mji ambao kwa kawaida hauna wakaazi wengi.
Taarifa katika mitandao ya kijamii nchini humo zaelezea jinsi mapaa ya majengo na hata baadhi ya madaraja na vivukio vya watembea miguu vilivyoporomoka kutokana na tetemeko hilo.
Tetemeko hilo la ardhi lilikuwa la kiwango cha 7.8 kwenye vipimo vya Richter. 
Rescue workers in Minami, Japan work to clear trees and dirt from an area affected by the earthquake
Stephan Kuffner mwandishi habari anayeishi katika mji mkuu wa nchi hiyo Quito maili 200 kutoka eneo la tukio ameelezea jinsi watu walivyokimbilia kutoka nje ya majengo wakati ardhi ilipanza kutingisika..
Awali Kituo cha kutoa onyo la uwezeano wa kutokea mafuriko, Pacific Tsunami Warning Centre kimesema huenda kukawa na mawimbi makali yatakayoweza kufikia maeneo yaliyokilomita 300 kutoka mahali tetemeko hilo lilipotokea.

No comments:

Post a Comment