Katika salamu hizo Rais Magufuli ameelezea kushtushwa na kifo hicho
na kuongeza kuwa Kenya imempoteza mtu muhimu aliyetoa mchango mkubwa
katika maendeleo ya nchi yake.
“Kupitia kwako Rais wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta napenda kumpa pole nyingi Rais Mstaafu wa Kenya Mheshimiwa Mwai Kibaki, Familia yake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote walioguswa na msiba huu mkubwa” Amesema Rais Magufuli.
Dkt. John Pombe Magufuli pia amemuombea marehemu Lucy Kibaki apumzishwe mahali pema peponi, Amina.
“Kupitia kwako Rais wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta napenda kumpa pole nyingi Rais Mstaafu wa Kenya Mheshimiwa Mwai Kibaki, Familia yake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote walioguswa na msiba huu mkubwa” Amesema Rais Magufuli.
Dkt. John Pombe Magufuli pia amemuombea marehemu Lucy Kibaki apumzishwe mahali pema peponi, Amina.
No comments:
Post a Comment