Rasi John Magufuli amemteua Mathias Chikawe kuwa balozi wa Tanzania nchini Japan taarifa hiyo itatolewa leo tarehe 18.4.2016 na katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi na kueleza uteuzi huo umeanza april 13 2016.
Chikawe aliwahi kuwa mbunge wa Nachingwea 2005 hadi 2015 vile vile katika awamu ya nne alikuwa waziri wa katiba na sheria,Waziri wa nchi ofisi ya Raisi utawala bora na Waziri wa mambo ya ndani.
No comments:
Post a Comment