Akizungumza na gazeti hili
jana, Dk Ntara alisema hali iliyopo si shwari na inaleta hofu ya
wananchi wa kata za Makwale, Kajunjumele, Ndogo, Ipinda,Lusungo,
Bujonde, Katumba Songwe, Mwaya na Ikama kutokana na kukosa mahali pa
kuishi na Serikali imechukua jukumu la kuwahifadhi kwenye makanisa na
katika kambi mbili tofauti zilizopo tarafa ya Unyakyusa na Ntebela na
wengine wakichukuliwa na ndugu zao ambao hawajafikwa na maafa hayo.
Monday 18 April 2016
Mvua zinazoendelea nchini za sababisha haya Mbeya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment