Ronaldo aliyechezea United kwa misimu 6, amesema anaumia moyo kuiona klabu yake ya zamani ikiwa katika hali mbaya, na ujio wa Mourinho utaisaidia klabu hiyo kurudisha makali yake.
Aidha, Mreno huyo amekataa kuongelea bifu lake la zamani na Mreno mwenzake alipokuwa Kocha wa Real Madrid, na kusema hayo yameshapita.
No comments:
Post a Comment