Monday 30 May 2016

mwanamke aliwa na mamba katika fukwe za bahari nchini Australia

Polisi kaskazini mwa Australia wanasema kuwa mwanamke mmoja hajulikani aliko, baada ya kushambuliwa na mamba alipokwenda kuongelea usiku.

Mwanamke huyo na rafiki yake walikuwa katika kidibwi chenye kina kifupi katika hifadhi ya kitaifa ya wanyama pori ya Daintree.
Hifadhi hiyo ya taifa ipo katika maeneo ya Queensland, nchini humo.
The pair were swimming at Thornton Beach at Daintree (pictured), an area with a high crocodile population
Fukwe za Daintree
tukio hilo ni limetokea Jumapili jana, ambapo hadi sasa inahofiwa kuwa huenda ameliwa na Mamba.

No comments:

Post a Comment