Friday 26 August 2016

Hivi ndivyo Cristiano Ronaldo alivyoshinda tuzo ya mwanasoka bora Ulaya.(+picha)

Cristiano Ronaldo poses with the UEFA Best Player in Europe award in Monaco on Thursday
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora Ulaya.

Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora wa Ulaya baada ya kuwashinda wachezaji wengine wawili ambao wote wanatokea katika timu za jiji la Madrid nchini Hispania tuzo hizo zilitolewa Nchini France katika mji wa Monaco.
(From left) Gareth Bale, Ronaldo and Antoine Griezmann smile for the cameras
Gareth Bale (kulia) ,Ronaldo na Antoine Griezmann upande wa kushoto.
Katika Kura zilizopigwa na waandishi 55 wanachama wa UEFA katika Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya 2015/2016 matokeo yamekuwa hivi
Ronaldo's achievement was celebrated during the Champions League draw in Monaco
Cristiano Ronaldo – 40
Antoine Griezmann – 8
Gareth Bale – 7
Griezmann, Bale and Ronaldo sit next to each other during the Champions League draw
Mshambuliaji wa Olympique Lyon na timu ya Norway Ada Hegerber ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa upande wa Wanawake 2015/2016
CquGSTEWIAACxnY
Ada Hegerberg.

No comments:

Post a Comment