Friday 28 October 2016

Mwigulu Nchemba afanikiwa kumshawishi Kocha Hans van der Pluijm kurejea Jangwani.


Uongozi wa klabu ya Yanga, umelezimika kumuangukia Kocha Hans van der Pluijm.
Pluijm aliandika barua kujizulu baada ya Yanga kuamua kufanya mazungumzo na Kocha George Lwandamina.

Lwandamina alikuja nchini kuzungumza na uongozi wa Yanga, jambo ambalo mwisho linaonekana kukwama.

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba ndiye alifanya kazi ya ziada kufanya mazungumzo na Pluijm ambaye inaelezwa amekubali kurejea.

Uongozi wa klabu ya Yanga, umelezimika kumuangukia Kocha Hans van der Pluijm na hii ni barua ambayo uongozi wa klabu hiyo ukimuandikia kukataa ombi lake la kutaka kuachia ngazi.
img-20161028-wa0005

Pluijm aliandika barua kujizulu baada ya Yanga kuamua kufanya mazungumzo na Kocha George Lwandamina raia wa Zambia.

USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE

SUBSCRIBE ON YOUTUBE TIKISA TV

No comments:

Post a Comment