Monday 28 November 2016

Kocha George Lwandamina rasmi leo aanza kuinoa Yanga.


Kocha George Lwandamina rasmi leo ameanza kazi ya kukinoa kikosi chake cha Yanga kwa mara ya kwanza.

Lwandamina raia wa Zambia ameanza kazi kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi Kilwa Road jijini Dar es Salaam.

Ameanza kazi ikiwa ni mara ya kwanza baada ya likizo ambayo walipewa na aliyekuwa kocha mkuu, Hans van der Pluijm.

USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE



                                SUBSCRIBE ON YOUTUBE 
                                          
                                               TIKISA TV

No comments:

Post a Comment