Sunday 27 November 2016

PICHA:Tazama dakika 90 za matokeo ya Arsenal VS Bournemouth katka EPL hii leo.

Alex Oxlade-Chamberlain jumps high for the ball  during the first half as Bournemouth captain Simon Francis looks on
Arsenal imeendeleza ushindi katika Ligi Kuu England kwa kuichapa AFC Bournemouth kwa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Emirates jijini London, leo.

Mabao ya Arsenal katika mechi hiyo, shukurani ziwaendee Alexis Sanchez aliyefunga mawili, bao la kwanza katika dakika ya 12, la tatu katika dakika ya 90 huku Theo Walcott akifunga la pili katika dakika ya 53.

Bournemouth walionyesha soka safi na la kuvutia lakini Arsenal walionekana kuwa na mpangilio mzuri tokea mwanzo.



ARSENAL 
4-2-3-1: Cech 6.5; Debuchy 5 (Gabriel 16min, 5), Mustafi 5.5, Koscielny 6, Monreal 6; Elneny 6.5, Xhaka 7; Walcott 6.5 (Giroud 75, 6), Ozil 7, Oxlade-Chamberlain 6.5 (Ramsey 75, 6); Sanchez 7.5.

SUBS: Ospina, Gibbs, Coquelin, Iwobi.

BOOKINGS: Mustafi, Sanchez,

MANAGER: Arsene Wenger 6.5

BOURNEMOUTH 
4-4-2: Federici 5; Francis 5, Cook 5, Ake 6.5, B.Smith 5 (Mousset, 81); A.Smith 6, Arter 7, Gosling 7, Stanislas 6.5 (Ibe 71, 5.5); King 6, Wilson 7 (Afobe 63, 6).

SUBS: Allsop, Pugh, Fraser, Mings.

BOOKINGS: Cook, Francis, Arter, B.Smith, Gosling.

MANAGER: Eddie Howe 6.

Man Of Match: Alexis Sanchez.

REF: Mike Jones 4
Attendence: 59,978.





 










USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE



                                SUBSCRIBE ON YOUTUBE 
                                          
                                               TIKISA TV

No comments:

Post a Comment