Thursday 10 November 2016

PICHA:Tazama jinsi Rais Magufuli alivyomtembelea Mke wake Muhimbili hii leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali Mke wake, Mama Janeth Magufuli aliyelazwa katika Hospitali ya Muhimbili akipatiwa Matibabu. leo Novemba 10,2016


Rais Magufuli akiongea na wagonjwa mbali mbali katika Hospitali ya Muhimbili.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akiwashukuru na kuwapongeza kwa kazi nzuri baadhi ya Madaktari na Wauguzi kwenye wodi ya Sewa Haji katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akimjulia hali Waziri wa Zamani Balozi Ramadhani Mapuri ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu Novemba 10, 2016.

USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE

                              SUBSCRIBE ON YOUTUBE TIKISA TV

No comments:

Post a Comment