Wednesday 9 November 2016

Rais DK.Magufuli ampongeza Donald Trump kwa kushinda Kiti cha Urais Marekani kwa kauli hii.


Leo November 9, 2016 Marekani imeweka historia nyingine baada Donald Trump wa chama cha Republican kutangazwa mshindi wa kiti cha Urais, na tayari ameanza kupokea pongezi kutoka kwa viongozi wa nchi mbalimbali ikiwemo Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli ametoa pongezi zake kwa Rais Donald Trump kupitia ukurasa wake Twitter

Congratulation President-Elect Donald Trump and the People of America. Tanzanians and I assure you of continued friendship and cooperation.

USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE


                              SUBSCRIBE ON YOUTUBE TIKISA TV

No comments:

Post a Comment