Monday 19 December 2016

PICHA:Tazama Tukio zima la ajali ya Mwanamuziki Darasa alivyonusurika Kifo

Mwanamuziki Darassa ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa Muziki jana alipata ajali akiwa na Mtayarishaji wa video Hanscana walipokuwa njiani wakirejea Dar es Salaam kutoka Kahama.

Ajali hiyo inaelezwa kuwa ilitokea eneo la Ntobo barabara ya kuelekea mgodi wa Bullyanhulu, Wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga.

Taarifa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa hakuna aliefariki dunia



No comments:

Post a Comment