Monday 5 December 2016

VIDEO:Tazama Chanzo cha kifo cha mchezaji Ismail Mrisho Khalfan wa Mbao FC.

Ismail Mrisho Khalfan(kulia)

Kinda wa Mbao FC ya Mwanza, Mrisho Khalfan amefariki dunia  baada ya kuanguka uwanjani alipogongana na beki wa Mwadui FC katika michuano ya Ligi ya Vijana U20 inayoendelea.


Khalfan aligongwa kidogo tu na nahodha wa Mwadui FC wakati akijaribu kuwania naye mpira. 

Tazama  video.




USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE



                                SUBSCRIBE ON YOUTUBE 
                                          
                                               TIKISA TV

No comments:

Post a Comment