Tuesday 31 January 2017

Ifahamu sababu ya Rais wa Marekani Donald Trump kumtumbua mteule wa Obama mapema leo.

President Donald Trump signs executive orders in the Hall of Heroes at the Department of Defense Friday at the Pentagon. Trump signed two orders, one calling for the "great rebuilding" of the nation's military, and another on "extreme vetting" of visa seekers from terror-plagued countries
Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi kaimu mwanasheria mkuu Sally Yates saa chache tu baada ya kuwaagiza mawakili wa idara ya haki nchini humo kutotetea uamuzi wa kuwawekea vikwazo raia wanaotoka katika baadhi ya mataifa ya kiislamu.

President Donald Trump has fired acting Attorney General Sally Yates after she refused to defend his controversial immigration order
Sally Yates 
Taarifa ya Ikulu ya Whitehouse imemshtumu kwa usaliti.
Sally Yates ambaye aliteuliwa na Obama alisema kuwa hafikirii kwamba marufuku hiyo ya muda kwa raia wa mataifa saba ya Kiislamu ni halali.
Wadhfa wake umechukuliwa na kiongozi wa mashtaka katika mahakama ya kijimbo huko Virginia Dana Boente.
, Dana Boente, U.S. Attorney for the Eastern District of Virginia, has been appointed as her replacement until Senator Jeff Sessions is confirmed by the Senate
Dana Boente.
Agizo hilo la rais lililotiwa saini Ijumaa iliopita limesababisha maandamano nchini Marekani na ughaibuni.
Awali kundi moja la wanadiplomasia liliandika barua likikosoa agizo hilo wakisema litazidi kuhatarisha usalama wa taifa hilo.


No comments:

Post a Comment