Sunday 16 July 2017

Lukaku aonesha umwamba katika mechi yake ya kwanza Man U.

Henrikh Mkhitaryan (left) celebrates with new team-mate Romelu Lukaku after scoring United's fourth goal
Man United imeitwanga LA Galaxy kwa mabao 5-2 katika mechi ya kirafiki iliyopigwa nchini Marekani.

Pamoja na ushindi huo, moja ya kivutio ilikuwa ni beki Ashley Cole alipokuwa akipambana na mshambulizi mpya wa Man United, Romelu Lukaku.

Former Chelsea full back Ashley Cole (right) catches Lukaku late with a challenge as he tries to stop the striker
Mara kadhaa ilikuwa kama vita na wakati mmoja, nusura Cole amuumize Lukaku ambaye alimtoa na kuachia krosi dongo.

Marcus Rashford opens the scoring for Manchester United after he took advantage of poor LA Galaxy defending

No comments:

Post a Comment