Friday 7 July 2017

Romelu Lukaku aonekana akifanya mazoezi na Pogba Los Angel Marekani (+Picha)

Paul Pogba and expected Manchester United signing Paul Pogba have been training together
Manchester United imeonyesha imepania kupindua kabati baada ya kukubaliana na Everton kuhusiana na uhamisho wa Romelu Lukaku kwa pauni milioni 75.

Chelsea ndiyo walionekana na matumaini ya kumnasa Lukaku lakini kocha wake Antonio Conte anaonekana kuchanganyikiwa huku Jose Mourinho akionyesha kweli ni Mafia.

Lukaku is set to join Pogba at United in a £75m deal - having infuriated Everton by going AWOL
Imeelezwa Lukaku anatarajia kufanya vipimo vya afya na sasa yuko Los Angeles, Marekani akiwa na swahiba wake Paul Pogba, ambaye ni kiungo nyota wa Man United.

Pogba hajaonekana katika mazoezi ya Everton inayojiandaa kuja nchini kucheza mechi ya kirafiki Julai 13.
Lukaku and Pogba are on holiday together in Los Angeles ahead of pre-season training

Dalili zote zinaonekana atapishana na safari hiyo kwa kuwa Mourinho yuko siriaz kweli kuhakikisha anatua United na kuwa shetani mpya.

No comments:

Post a Comment