Wednesday 23 August 2017

Rais Magufuli afanya mabadiliko ya nafasi za viongozi hawa wa serikali.

Image result for Rais Magufuli
Rais Magufuli amteua Luteni Kanali Frederick Felix Milanzi kuwa Kamishna wa Operation wa Mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya.


Luteni Kanali Frederick Felix Milanzi anachukua nafasi ya Bw. Mihayo Msikela ambaye amerejeshwa Makao Makuu ya Polisi.

No comments:

Post a Comment