Tuesday 22 August 2017

PICHA:Wayne Rooney aendelea kuwasha moto Evarton mbele ya Jose Mourinho.

Wayne Rooney cups his ears after scoring the goal to put Everton ahead against his old foes Manchester City
Mshambuliaji Wayne Rooney wa Everton amefunga bao lake la 200 katika Ligi Kuu England wakati timu yake ikitoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya Man City.
Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho alikuwa uwanjani hapo akishuhudia mechi hiyo kwenye Uwanja wa Etihad.
Manchester United boss Jose Mourinho was in the stands at the Etihad, as was Old Trafford legend Sir Alex Ferguson

Everton wanaodhaminiwa na SportPesa waliokuwa ugenini ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 36 kupitia Rooney aliyeunganisha pasi ya chinichini.

Pia Man City ikapata pigo baada ya Kyle Walker, beki wa kulia huyo kulambwa kadi ya pili ya njano ndani ya dakika mbili na kuzaa nyekundu.
Moments later at the other end Rooney gave Everton the lead as the ball slipped through City keeper Ederson

Pamoja na Everton kuwa na mtu mmoja zaidi lakini ilishindwa kutawala mchezo na kuwapa City nafasi kubwa ya kucheza hadi waliposawazisha katika dakika ya 82 kupitia Raheem Sterling baada ya beki wa Everton.


Dakika ya 88, Morgan Schneiderlin kulambwa kadi ya pili ya njano na kuandika nyekundu. Hata hivyo, picha za marudio zilionyesha hakumgusa Kun Aguero badala yake aligusa mpira.

Sterling struck in the 82nd minute as City's pressure finally told, Mason Holgate's error handing him the chance


Bernardo Silva was summoned off the bench for City as they chased the game, here the former Monaco man fires at goal

Kompany and several City players surround referee Madley as the official dishes out a red card to an incredulous Walker

No comments:

Post a Comment