Friday 18 August 2017

Ushindi mwingine wa Evarton dhidi ya Hajduk Spilit.

Everton 2-0 Hajduk Split: Toffees take first-leg advantage
Everton imeitwanga Hajduk Spilit kwa mabao 2-0 na kujiweka katika hatua nzuri ya kufuzu katika hatua ya makundi ya Europa League.

Mabao ya Everton yamefungwa na Michael Keane na Idrissa Gueye katika mechi hiyo ambayo kipindi cha kwanza ilikabiliwa na tafrani kutoka kwa mashabiki wa Hadjuk hadi kusababisha mpira kusimama.

Kipindi cha pili kilikwenda vizuri na hakikuwa na bao hata moja kwa kuwa Everton hawakuweza kuongeza na wageni nao hawakupata bao. Mechi ya marudiano ni Alhamisi ijayo, Everton inayodhaminiwa na SportPesa, itakuwa ugenini.

No comments:

Post a Comment