Thursday 19 October 2017

Eden Hazard afanya maajabu kuinusuru Chelsea Stamford Bridge.

Hazard doubled Chelsea's lead eight minutes before half-time, half-volleying home after Alvaro Morata's shot was deflected
Eden Hazard aliwaokoa Chelsea's kuendeleza msururu wao wa kutofungwa katika kombe la vilabu bingwa baada ya Roma waliotawala mechi hiyo kutoka nyuma na kuongoza katika kiputi kilichojaa mbwembwe za kila aina katika uwanja wa Stamford Bridge.

Hazard alifunga bao kila kipindi cha mchezo ,mwanzo akifunga kichwa kilichosawazisha matokeo kufuatia krosi ya Pedro zikiwa zimesalia dakika 15 mechi kukamilika katika kundi C.
Chelsea secured a share of the spoils, however, thanks to Eden Hazard, who headed home Pedro's cross 15 minutes from time
Mshambuliaji huyo wa Ubelgiji alikuwa ameipatia Chelsea uongozi wa mabao mawili katika kipindi cha kwanza baada ya David Luiz kuiweka Chelsea kifua mbele.
Lakini timu hiyo ya ligi ya Serie A iling'ang'ana huku Aleksandar Kolarov akifunga kabla ya Edin Dzeko kufunga mabao mawili katika dakika sita.
Kolarov and Dzeko celebrate after the free-scoring forward turned the game on its head with his stunning second-half double
Shambulizi lake la kwanza ulikuwa mpira uliompita kwa juu kipa huku la pili likiwa mchezo mzuri wa nipa ni kupe kati ya Kolarov.
Willian, who replaced Hazard following the Belgian's second goal, tries to ride the sliding challenge of Radja Nainggolan

No comments:

Post a Comment