Monday 16 October 2017

Huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Ligi.

Image result for Clement Sanga
Clement Sanga pichani ameibuka na ushindi na kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi baada ya kupata kura 10.

Sanga amepata kura hizo 10 na kumuangusha mpinzani wake Yahaha Mohamed aliyepata kura 6.

No comments:

Post a Comment