Thursday 2 November 2017

Real Madrid wakubali kipigo kutoka kwa Tottenham Hotspur.

Real Madrid looked stunned after Spurs outplayed and out-fought the holders on a famous night at Wembley
Dele Alli alifunga mara mbili na kushuhudia Tottenham Hotspur ikiichapa miamba ya Hispania na mabingwa watetezi wa kombe la klabu bingwa Ulaya Real Madrid na kufanikiwa kutinga hatua ya 16 bora.

Trippier and Alli combined effectively to stun Real Madrid who made a lacklustre start to the Champions League tie
Real Madrid wamefungwa kwa mara ya kwanza katika hatua ya makundi tokea mwaka 2012.
Tottenham had the chances to extend their lead but will be full of confidence after dominating the European champions 
Christian Eriksen aliiandikia Spurs goli la tatu na la ushindi na kuizamisha kabisa Madrid ambayo itahitaji kushinda michezo iliyosalia ili kufuzu hatua inayofuata.
Goli la Madrid lilipachikwa na Cristiano Ronaldo ambaye licha ya kufunga goli hilo hakuwa katika kiwango kizuri sana.
Cristiano Ronaldo attempts to bamboozle Kieran Trippier with some step-overs early on in the contest at Wembley
Spurs wamefikisha alama 10 huku Madrid ikiwa na alama 7.
Matokeo ya michezo mingine

No comments:

Post a Comment