Thursday 18 January 2018

PICHA:Tazama Jose Mourinho alivyoshangazwa na jezi hii ya Man United kuwa na jina la hasimu wake.

Mourinho was happy to answer questions during the interview outside the hotel
Kumekuwa na vita ya kurushiana maneno makali  baina ya kocha mkuu wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho na Kocha wa Chelsea Antonio Conte wamekuwa wakirushianan maneno na kutoa kauli za kukejeliana wazi wazi mbele ya waandishi wa Habari na katika mitandao.


Katika hali ya kushangaza wachekeshaji wawii Onnis na  Corti kutoka nchini Italia wamemshangaza kocha wa Man United Jose Mourinho baada ya kumpelekea jezi ya Man United iliaweze kusain(Autography) kama alama ya kumbukumbu kwao jezi ambao ilikuwa ni ya klabu ya Man Unioted ila nyuma ya jezi  Jina la jezi hiyo lilikuwa ni la hasimu wake namba 1 nchi Uingereza kocha wa The Blues Chelsea Antonio Conte jina hili liliandikwa   ANTONIO CONTE 1


Jose Mourinho was approached by the two comics outside The Lowry Hotel on Wednesday

Alessandro Onnis and Stefano Corti from satirical show Le Iene were keen to speak Mourinho

Mourinho was happy to answer questions during the interview outside the hotel

The Italian pair then asked The Special One to sign a Manchester United shirtĀ 
Onnis and Corti show off the signed shirt following the meeting with the United boss
Wachekeshaji Onnis na  Corti wakiwa na jezi ya Man United waliompelekea mourinho kuisain kama sehemu ya kumbukumbu kwao.


No comments:

Post a Comment