Wednesday 30 December 2015

Dunia ipo katika kipindi cha kutoweka, utafiti uliofanywa na vyuo vikuu vitatu vya Marekani umebaini haya

Dunia ipo katika kipindi cha kutoweka, utafiti uliofanywa na vyuo vikuu vitatu vya Marekani umebainisha na binadamu ndiye atakuwa mhanga wa kwanza.

Ripoti hiyo, iliyoongozwa na vyuo vikuu vya Stanford, Princeton na Berkeley, imesema wanyama wenye uti wa mgongo wanatoweka katika kiwango cha mara 114 zaidi kuliko ilivyokuwa hapo awali.

Matokeo ya utafiti huo yanaungana na matokeo yaliyochapishwa mwaka jana na Chuo Kikuu cha Duke, cha nchini Uingereza.

Utafiti huo uliofanyika kwa mwaka mmoja, umeeleza kuwa binadamu wanaingia katika hatua ya sita ya kutoweka kwa wingi

No comments:

Post a Comment