Monday 28 December 2015

Hizi ndio Hisia za mashabiki wa Manchester united juu ya Mourinho

Mashabiki ya wa club ya manchester united waonesha hisia zao mara baada Timu hiyo kutopata matokeo ya kuridhisha katika mechi zake za hivi karibuni kwa kufululiza sare katika mechi mbalimbali  club hiyo ambayo ipo chini ya kocha Mholanzai Louis Van Gaal ambaye yupo matatani kutimuliwa baada ya club hiyo kutofanya vizuri katika michezo yake Van gaal ambaye alipewa mechi ya leo dhidi ya Chelsea kama mechi yake ya mwisho endapo atafanya vibaya kibarua chake kitaota nyasi, na moja ya watu wanaotajwa kuwa walithi wake ni kocha mwenye maneno mengi Jose Mourinho ambaye ametimbuliwa na club ya chelsea hivi karibuni na kama waswemavyo waswahili nyota njema uonekana asubuhi mashabiki wa Manchester united wonesha kumuhitaji Jose Mourinho kwa kufanya hivi
 A Manchester United fan poses with a 'Louis van Gaal out, Mourinho in' banner before kick-off
 Embedded image permalink

 Two fans pose with a Manchester United and Chelsea half-and-half scarf ahead of the Premier League fixture

A merchandise seller poses with a Jose Mourinho scarf ahead of Monday evening's fixture at Old Trafford

No comments:

Post a Comment