Monday 21 December 2015

WAZIRI wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ghafla katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga.








WAZIRI wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ghafla katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kukutana na dosari Mbalimbali
Moja ya mambo yaliyomkera Ummy ni kuwakosa Madaktari wa Zamu katika Hospitali hiyo pamoja na ukosefu wa Mashuka kwa wagonjwa hali iliyowalazimu kutandika kanga zao.
Ilikuwa ni ziara ya kustukiza iliyofanywa na waziri wa afya maendeleo ya jamii ,jinsia wazee na watoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga ikiwemo Ukosefu wa vitanda pamoja na madaktari walioajiriwa kutokuwepo.
Mwalimu anatembelea vitengo mbalimbali vya hospitali hiyo na kukutana na madaktari wanafunzi huku wale Madaktari Waajiriwa walioko zamu wakiwa hawajulikani walipo

No comments:

Post a Comment