Monday 21 December 2015

ASKARI wawili wa Jeshi la polisi na wane wa idara wanyama pori wanashikiliwa kwa tuhuma za kusababisha vifo vya watu wawili




















ASKARI wawili wa Jeshi la polisi na wane wa idara wanyama pori wanashikiliwa  kwa  tuhuma za  kusababisha vifo vya watu wawili, wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya kijangiri Kamishna mkuu wa jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam  Sulaiman Kova amsema kuwa uhunguzi wa awali unaonyesha  kuwa askari hao pamoja na wale wa idara ya wanyama pori walikuwa wanawafuatilia majingiri hao
 Kwa mujibu wa Kamnada Kova  askari hao wanatuhumiwa  kwa kutoa taarifa za ungo na  kushirikiana na majingiri  katika  oparesheni ilofanyika  eneo  la sinza  na kutoa taarifa kuwa watu waliokuwa wanafuatiliwa, walifariki  katika  harakati hizo
Kova  amewataja  askari hao  kuwa ni pamoja na Mkaguzi wa polisi Boni Mbange, Filbert Fulu Saba Emanuel Mbaga, Deogratius Benadict wa idara ya wanyama pori,Josepaht Jimmy na Asubile Mwakyusa

No comments:

Post a Comment