Christian Bella |
Bela amesema alifanikiwa kufanya naye show na ku-share stage moja mwaka 2008, ambapo alikuja Dar es salaam wakati huo Bella akiwa katika bendi ya Akudo na alipata mda wa kuongea naye mambo mengi
Bella anasema umri wake ulikuwa umesogea, kwa hiyo ni mipango ya Mungu.
Wemba alianguka jukwaani ghafla huko ABIDJAN na kupoteza uhai wake hapo hapo.
No comments:
Post a Comment