
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya DSM, - SIMON SIRRO amesema kuwa kati ya watuhumiwa hao 86 wamekamatwa kwenye maeneo ya UKONGA, KIJITONYAMA, MAGOMENI, na OSTERBAY.
Katika hatua nyingine Kamishna SIRRO amesema mnamo tarehe 23 APRIL mwaka huu jeshi la Polisi lilifanikiwa kuwakamata jumla ya majambazi KUMI na Watatu ikiwa ni mwendelezo wa kuwatafuta majambazi waliohusika katika tukio la wizi kwenye benki ya ACCESS TAWI Mbagala Jijini DSM tarehe 26 February mwaka huu
No comments:
Post a Comment