Tuesday 3 May 2016

Tazama jinsi wachezaji wa Leicester City na mashabiki ambavyo wakifurahi ubingwa hapa (+picha)

 The Leicester stars pose for a picture as they celebrate after watching Chelsea draw with Tottenham
Klabu ya soka ya Leicester City wameshinda taji la ligi kuu England katika historia inayovutia kwenye ligi hiyo. Suluhu ya 2-2 waliyoipata Tottenham dhidi ya Chelsea siku ya jumatatu usiku ilisababisha mafanikio hayo makubwa kuwahi kutokea kwa upande wa Claudio Ranieri.

Leicester walianza kampeni zao za ubingwa huku wakipewa nafasi moja tu kati ya 5000 kushinda taji la ligi na pia wakitoka katika janga la kutaka kushuka daraja.
 Foxes striker Jamie Vadry (right) celebrates with his team-mates inside his home

Lakini wamepoteza michezo mitatu tu katika kile kinachotafsiriwa kama hadithi za kale na ushindi wa kipekee katika timu hiyo. Wapinzani wao wa karibu Spurs,Arsenal,Manchester City, Manchester United na washindi wa ligi msimu uliopita Chelsea wameshindwa kuwazuia mbweha katika msimu mzima wa ligi.

 Hundreds of Leicester fans were outside the Leicester players' party at Vardy's home in Melton Mowbray
''Kwa kigezo cha soka la ndani,Leicester City kushinda taji la ligi kuu ni mafanikio makubwa sana katika historia na haiwezi kusahaulika'' kiungo wa zamani wa Leicester Robbie Savage ameiambia BBC.''Ni jambo la ajabu.Hii ni hatua ya mageuzi katika historia ya Ligi Kuu."

Young Leicester fans celebrate outside Vardy's house after they are confirmed as Premier League winners
Rais wa shirikisho la soka duniani Gianni Infantino amesema historia nzuri ya Leicester ilikua ni kama hadithi za kale.

 Foxes supporters gather in the streets of Leicester to celebrate winning the league title on Monday night

 Leicester City fan Mark Selby holds up the club's flag after winning the Snooker World Championships

Harry Kane alichoandika katika ukurasa wake wa Twitter

 


Jamie vardy
But Vardy hit back at a picture Harry Kane had posted earlier in the season with this from the Lion King

No comments:

Post a Comment