Friday 22 July 2016

Hizi ndio dakika 90 za kwanza za Jose Mourinho akiwa kocha mpya katika kikosi cha Manchester United.(+picha)

Antonio Valencia looks to close down Ousmane Dembele during a chastening evening for the United side
Klubu ya Manchester United inayonolewa na kocha mreno Jose Mourinho imekumbana na kipigo cha goli 4-1 kutoka kwa Borrusia Dortmund,ikiwa ndio mchezo wake wa kwanza akiwa kama kocha mpya katika klub hiyo  katika mchezo wa kwanza wa mashindano ya International Champions Cup ambapo vilabu vingi hushiriki kama sehemu ya maandalizi ya msimu.


Manchester United (4-2-3-1): 
Johnstone (Romero 46); Valencia (A. Pereira 74), Bailly, Jones (Rojo 46), Shaw; Blind (McNair 65), Herrera; Mata, Mkhitaryan (Januzaj 65), Lingard (Young 46); Depay (Rashford 46)


Subs not used: Tuanzebe, Keane.

Goal: Mkhitaryan 59

Booked: Bailly
 Mourinho takes notes as his side were soundly beaten
                                     Jose Mourinho

Jesse Lingard dribbles in an attempt to escape the attentions of Sven Bender in the first 45 minutes

Borussia Dortmund (4-2-3-1): 
Weidenfeller; Passlack (Larsen 46), Sokratis (Bartra 61), Bender (Merino 61), Schmelzer (Burnic 63); Castro (Leitner 85), Rode (Sahin 63); Dembele, Ramos (Mor 62), Kagawa (Hober 64); Aubameyang (Pulisic 64)

Subs not used: Burki, Bonmann

Goals: Castro 19, 
            86 Aubameyang 
            (pen) 36, 
             Dembele 57

Booked: Sokratis 

Luke Shaw completed the full 90 minutes in one of the few plus points as Adrian Ramos regains possession

Mourinho gives instructions to Juan Mata during a game that quickly slipped away from the Red Devils
                kocha Mourinho akimpa maelekezo Juan Mata

Dortmund celebrate after Pierre-Emerick Aubameyang scored a penalty to double their advantage in China
Memphis Depay closes down defender Sokratis Papastathopoulos during a run-out through the middle 

Sasm Johnstone gets down to smother at the feet of Castro but the ball was scrambled in from the rebound

No comments:

Post a Comment