Saturday 10 September 2016

Hizi ndio Dakika 90 za matokeo ya mechi kati ya Manchester United na Manchester City katika ligi kuu ya Uingereza(+picha).

Manchester United 1-2 Manchester City: Kevin De Bruyne and Kelechi Iheanacho give Pep

Ligi kuu wa Uingereza imeendelea hii leo ambapo mechi kadhaa zimechezwa na moja kati ya mechi zilizochezwa ni ile iliokutanisha miamba wa jiji moja la manchester kati ya Manchester United na Manchester City ambapo mechi imechezwa katika dimba la  Old Trafford.

Huku kikosi cha Pep Guardiola cha Manchester city kikiibuka kidedea kwa ushindi wa  2 -1 dhidi ya wenyeji wao Man utd
Kevin De Bruyne alifunga bao la kwanza la Man City dakika ya 15 alipovamia ngome ya Manchester United na kumpata mlinzi Daley akiwa usingizini.
De Bruyne gives  David de Gea (right) the eyes to send the Manchester United keeper the wrong way for City's opener
De Bruyne akipachika goli la kwanza.

Raia huyo wa ubelgiji pia alitoa mchango mkubwa katika bao la pili na Man City, baada ya kumpa pasi safi Kelechi Iheanacho ambaye aliutumbukiza mpira wavuni bila kuchelewa.

Iheanacho, mshambuliaji raia wa Nigeria mwenye umri wa miaka 19, alisema anafuraha sana kwa kuipa klabu yake bao la ushindi, na kuongeza imani yake mbele ya meneja Pep Guardiola.
Iheanacho was in the ideal place to slot home De Bruyne's rebounded shot to double City's first-half lead at Old Trafford
Iheanacho akiipatia Man city goli la pili.


MANCHESTER UNITED (4-2-3-1):
 De Gea 6.5, Valencia 6.5, Bailly 5, Blind 6, Shaw 6, Pogba 6, Fellaini 6.5, Mkhitaryan 4.5, Rooney 6.5, Lingard 5, Ibrahimovic 7
Subs - Mata, Martial (for Shaw 81) Smalling, Rashford, (for Lingard 46, 7) Romero, Herrera (for Mkhitaryan 46, 6.5) Schneiderlin
Booked: Bailly, Fellaini, Ibrahimovic, Rooney
Scorer: Ibrahimovic 42'

MANCHESTER CITY (4-1-4-1)
Bravo 4.5 Sagna 6.5, Stones 7, Otamendi 6.5, Kolarov 6, De Bruyne 8, Fernandinho 6.5, Silva 7, Sterling 5, Iheanacho 6.5, Nolito 6
Subs: Zabaleta (for De Bruyne 90), Fernando (for Iheanacho 54, 6), Caballero, Navas, Sane (for Sterling 60, 6) Clichy, Garcia.  
Booked: Silva
Scorers: De Bruyne 15', 
               Iheanacho 36'

Referee: Mark Clattenburg 6

 man of the match: Kevin De Bruyne


Msimamo wa Ligi baada ya mechi



Habari ya picha.
The world's most expensive player Paul Pogba (left) tries his luck from long range as David Silva (right) closes in


Ibrahimovic (second left) tries to find space between City defenders Nicolas Otamendi (left) and John Stones


The Belgium international had been involved in all of the visitor's best moves before scoring the opening goal


New City keeper Bravo spills a routine cross during what turned out to be a poor start to his career in England

Sweden icon Ibrahimovic raises his finger in celebration after pulling a goal back for Manchester United before the interval
Ibrahimovic akishangilia goli alioipatia  man utd  dakika ya 42.


USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE

No comments:

Post a Comment