Saturday 26 November 2016

Tazama Chelsea ilivyovunja ngome ya Tottenham kwa mara ya kwanza katika Ligi ya EPL Msimu huu.


Chelsea wamerejea tena kwenye usukani wa ligi ya England wakitoka nyuma na kuinyuka Tottenham ambayo imepoteza mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza msimu huu.

Christian Eriksen aliifungia Spurs bao la kuongoza dakika ya 11 na kuiamsha Spurs iliyotoka kupoteza mchezo wake wa ligi ya mabingwa katikati ya wiki.
Kikosi cha Mauricio Pochettino kilitawala mchezo hadi dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza ambapo Pedro alisawazisha bao kwa mguu wa kulia.
Spurs wameshindwa kuivunja rekodi mbaya dhidi ya Chelsea kwenye uwanja wa Stamford Bridge wakiwa wamefikisha michezo 30 bila ushindi tangu Februari 1990 baada ya Victor Moses kupachika bao la pili dakika sita baada ya kuanza kwa kipindi cha pili.

Chelsea:
Courtois, Azpilicueta, Luiz, Cahill, Moses (Ivanovic), Kante, Kante, Matic, Alonso, Pedro (Oscar), Costa, Hazard (Willian)


Unused subs:
Begovic, Fabregas, Batshuayi, Chalobah 
Goals: Pedro.
            Moses

Tottenham: 
Lloris, Walker, Dier, Vertonghen, Wimmer, Wanyama, Dembele (Janssen) , Eriksen, Alli (Nkoudou), Son (Winks), Kane 

Goals: Eriksen


Referee: Michael Oliver
Attendance: 41,515

Msimamo wa lLigi kwa sasa.



POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS
1ChelseaChelsea1310121931
2LiverpoolLiverpool139311830
3Manchester CityManchester City139311730
4ArsenalArsenal127411325
5Tottenham HotspurTottenham Hotspur13661924
6Manchester UnitedManchester United12543319
7EvertonEverton12543219
8WatfordWatford12534-318
9West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion13454117
10BournemouthBournemouth12435-215
11SouthamptonSouthampton12354014
12BurnleyBurnley13427-914
13Leicester CityLeicester City13346-613
14Stoke CityStoke City12345-613
15MiddlesbroughMiddlesbrough13265-312
16Crystal PalaceCrystal Palace13328-511
17West Ham UnitedWest Ham United12327-1011
18Hull CityHull City13328-1711
19Swansea CitySwansea City13238-109
20SunderlandSunderland13229-118

No comments:

Post a Comment