Thursday 1 December 2016

PICHA:Kanye west aruhusiwa kutoka hospitali.

Wants to work: Kanye  is desperate to make music in hospital but has been told to 'rest' (The hitmaker is pictured on November 15)
Baada ya kuwa katika uangalizi wa afya yake katika hospitali ya UCLA Medical Center, rapper huyo sasa amerejea nyumbani na mke wake Kim Kardashian kuungana na watoto wao, North na Saint.

Family man: 'The kids have not visited. Kim has been there,' Children can visit patients at Resnick Neuropsychiatric Hospital at UCLA, where Kanye is staying, but must be accompanied by an adult

West atakuwa chini ya uangalizi wa daktari wake, Michael Farzam. Huyu ndiye daktari aliyepiga simu ya 911 siku ambayo West alipelekwa hospitali, Novemba. 21.mwaka huu
In Sacramento, California the rapper launched into a 15-minute tirade attacking friend Beyonce and begging Jay Z to call him before walking off stage. Two days later the producer canceled his remaining Saint Pablo tour dates. He is seen above performing on October 25 in Inglewood, California
Rapper huyo alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya akili yaliyochangiwa na uchovu, ukosefu wa usingizi na upungufu wa maji mwilini. Matatizo hayo yalipelekea kusitishwa kwa ziara yake ya Saint Pablo.
Reports say Kanye, 39, left UCLA Medical Center in the company of his wife Kim Kardashian and his personal physician, Dr. Michael Farzam. They are seen above in this file photo shortly before the robbery heist in Paris on September 29
Kim Kardashian akiwa na Kanye West akitoka hospitali.
Matatizo mengine yanayomsumbua rapper huyo ni msongo mkubwa wa mawazo, wasiwasi na huzuni ya kifo cha mama yake. Bado ataendelea na matibabu ya kisaikolojia na ya kawaida.
West had been in UCLA Medical Center and is now home, just over one week after he was first hospitalized following an apparent breakdown. The hospital is pictured above
Hospitali ya UCLA Medical Center

USISAHAU KULIKE NA KU-SHARE NA KU-LIKE PAGE YETU FACEBOOK TIKISA MEDIA KUFOLLOW TWITTER @TIKISA MEDIA NA INSTAGRAM TIKISA ENTERTAINMENT MEDIA ILI HABARI ZOTE KUBWA ZIKUFIKIE HAPO ULIPO.ASANTE



                                SUBSCRIBE ON YOUTUBE 
                                          
                                               TIKISA TV

No comments:

Post a Comment