Tuesday 1 August 2017

Aishi Manula aelekea Afrika kusini kujiunga na Simba.

Kipa Aishi Manula ameondoka kwenda Afrika Kusini kuungana na kikosi chake kipya cha Simba.

Simba ipo kambini nchini Afrika Kusini kujiandaa na msimu mpya wa 2017-18.

No comments:

Post a Comment