Saturday 19 August 2017

Kiungo mpya wa Yanga Tshishimbi aanza mazoezi tayari kuivaa Simba.


Kiungo mpya wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi ameanza mazoezi na kikosi chake mjini Pemba.

Tshishimbi ameanza mazoezi hayo leo kujiandaa na mechi dhidi ya Simba.

No comments:

Post a Comment