Monday 14 August 2017

Tazama jinsi alivyopokelewa Rais wa Misri, Abdel Fattah el-Sisi na Rais Magufuli.

Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais John Pombe Magufuli kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. 

Amewasili kwa ndege maalum ya serikali ya Misri na kupokelewa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Advertisement

No comments:

Post a Comment