Thursday 26 October 2017

Hali ya kiafya ya Mshambuliaji wa Yanga Amissi Tambwe yafikia hapa.

Image result for Amissi Tambwe
Matumaini ya mshambuliaji Amissi Tambwe kucheza mechi dhidi ya Simba Jumamosi yanazidi kuwa madogo.

Tambwe ameendelea kutibiwa huku ikionekana bado hana matumaini makubwa kuivaa Simba itakapoivaa Simba kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, keshokutwa Jumamosi.

“Bado anatibiwa, inaonekana hajawa fiti kabisa ingawa amekuwa akiendelea na mazoezi,” kilieleza chanzo.

Yanga inaendelea kujifua kambini Morogoro wakati mchezaji huyo matibabu yake amekuwa akipata matibabu jijini Dar.

No comments:

Post a Comment