Saturday 25 November 2017

PICHA:Chelsea watua Liverpol tayari kwa Mechi.

Conte gave his players a full run-down of the session on the eve of the big game with the Reds
Chelsea wametua salama jijini Liverpool kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Liverpool ambayo inasubiriwa kwa hamu leo Anfield.

Lakini kiungo mkongwe wa timu hiyo, Cesc Fabregas amefanya kituko wakati wakiwasili, ameonekana akiwa amefunika uso wake gubi gubi.

Kwa kila timu, mechi hiyo ni muhimu, Liverpool ikataka kurejesha imani na kasi yake katika EPL lakini Chelsea ambao ni mabingwa watetezi wanataka kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kutetea taji.









Cesar Azpilicueta was all smiles as he passed the ball back and forth with Gary Cahill

Danny Drinkwater (centre) was back among first team training after recovering from injury



No comments:

Post a Comment