Tuesday 12 December 2017

Hivi ndivyo walivyopigana wachezaji Man City na Man United baada ya Mechi.

Marcos Rojo leaped to the defence of his manager, who was angry, and it ignited a mass brawl between the players

Imebainika wachezaji wa Manchester United na wale wa Manchester City walizichapa ile mbaya baada ya mechi yao Jumapili.

Katika mechi hiyo, licha ya kutangulia kufunga, Man United walilala kwa mabao 2-1.
The Manchester United and City players got in to a 30-man brawl after the final whistle and Mourinho was hit by a bottle

Baada ya mechi, wakati wakirejea vyumbani, wachezaji hao walitwangana na inaelezwa kocha msaidizi wa Man City, Mike Arteta alipasuliwa katika paji la uso.
Mchoro Unaonesha namna walivyopigana.

Kocha wa Man United, Jose Mourinho alivamia katika chumba cha Man City baada ya kupigwa chupa akimtuhumu mmoja wa wachezaji wa City.

United boss Mourinho confronted City keeper Ederson and told him to show some respect after they traded insults

No comments:

Post a Comment