Imebainika wachezaji wa Manchester United na wale wa Manchester City walizichapa ile mbaya baada ya mechi yao Jumapili.
Katika mechi hiyo, licha ya kutangulia kufunga, Man United walilala kwa mabao 2-1.
Baada ya mechi, wakati wakirejea vyumbani, wachezaji hao walitwangana na inaelezwa kocha msaidizi wa Man City, Mike Arteta alipasuliwa katika paji la uso.
Mchoro Unaonesha namna walivyopigana. |
Kocha wa Man United, Jose Mourinho alivamia katika chumba cha Man City baada ya kupigwa chupa akimtuhumu mmoja wa wachezaji wa City.
No comments:
Post a Comment