Monday 22 January 2018

Tatoo mpya ya Zlatan Ibrahimovic yawa gumzo

Ibrahimovic has added to his back tattoo that now covers his whole back
Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic ameongeza tattoo nyingine nyuma ya mwili wake ambayo sasa inaziba mgongo mzima huku akiwaonyesha mashabiki zake hapo jana.


Mchezaji huyo wazamani wa timu ya taifa ya Sweden ameonyesha tattoo hiyo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Twitter siku ya Jumapili huku akiandika ‘Finest Art’.
The former Sweden international showed off his latest body art in a post on his Twitter account

Ibrahimovic anajumla ya tattoo tofauti tofauti 15 katika mwili wake ambapo kwa sasa ameamua kuonyesha hiyo iliyokamilika. Zlatan Ibrahimovic amesema kuwa kila tattoo iliyopo katika mwili wake inamaaba kwake.
Since re-joining United Ibrahimovic has had limited game time with Romelu Lukaku the No 1 



No comments:

Post a Comment