Sunday 18 February 2018

Hii ndio Idadi ya kura iiyompa ushindi Maulid Mtulia (CCM)

Image result for maulid mtulia
Tume ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Maulid Mtulia wa Chama cha Mapinduzi(CCM) kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa Ubunge.
 

Jimbo la Kinondoni baada ya kupata kura 30,313 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Salum Mwalim (CHADEMA) aliyepata kura 12,353.

No comments:

Post a Comment