MBUNGE wa Jimbo la Kibamba (CHADEMA), John Mnyika amewatahadharisha viongozi wa chama hicho na wananchi kutokana na mauaji ya kutisha yanayoendelea hapa nchini.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar leo, Mnyika amesema viongozi wa wanapaswa kuchukua tahadhari kwani vifo vingi vya kutatanisha vimetokea siku za hivi karibuni huku wengi wa waliouawa wakiwa ni viongozi wa chama hicho.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar leo, Mnyika amesema viongozi wa wanapaswa kuchukua tahadhari kwani vifo vingi vya kutatanisha vimetokea siku za hivi karibuni huku wengi wa waliouawa wakiwa ni viongozi wa chama hicho.
No comments:
Post a Comment