Wednesday 21 February 2018

Kosa la Beki Christensen lampa faida Messi.



Barcelona star Messi raises his arms to the travelling fans after scoring the goal to bring his side back to level terms
Kabla ya leo hii, Lionel Messi alikuwa hajawahi kuwafunga Chelsea katika michezo 8 iliyopita ambayo waliwahi kukutana, pamoja na mabao 595 aliyokuwa nayo hakukua na bao vs Chelsea.


Lakini usiku wa leo Lionel Messi amefuta mkosi huo baada ya kufunga bao lake la kwanza dhidi ya Chelsea japo bao lake lilikuwa la kusawazisha baada ya Chelsea kutangulia kupitia Willian.

Bao la leo la Willian lilikuwa bao lake la 9 katika klabu bingwa Ulaya(muda wote) na sasa anakuwa amefunga mabao 6 kati ya hayo nje ya box huku Messi sasa anakuwa na jumla ya mabao 18 vs timu za Uingereza.


Bayern Munich wakiwa nyumbani walishusha kipigo cha mbwa mwizi kwa Bestikas waliokuwa pungufu baada ya Domagoj Vida kupewa kadi nyekundu dakika ya 16 na kuwachapa bao 5 kwa nunge.




CHELSEA (3-4-3): 
Courtois 6.5, Azpilicueta 7.5, Christensen 6, Rudiger 7, Moses 7.5, Fabregas 6.5 (Drinkwater 83), Kante 6.5, Alonso 6.5, Willian 9, Hazard 8, Pedro 6 (Morata 83)

Subs not used: Caballero, Giroud, Zappacosta, Cahill, Hudson-Odoi

Goals: Willian 62

Bookings: Rudiger, Morata

Manager: Antonio Conte
Andreas Christensen's mistake led to Barcelona's equaliser in the Champions League

BARCELONA (4-4-2): 
Ter Stegen 5.5, Segi Roberto 7, Pique 6.5, Umtiti 6, Alba 7, Rakitic 6.5, Busquets 6.5, Paulinho 6.5 (Vidal 63), Messi 8, Luis Suarez 6.5, Iniesta 7 (Gomes 90)

Subs not used: Cillessen, Denis Suarez, Dembele, Digne, Vermaelen

Goals: Messi 75

Bookings: Rakitic, Suarez, Busquets

Manager: Ernesto Valverde

Referee: Cuneyt Cakir (Turkey)


Chelsea's Brazilian star Willian slides on his knees in celebration after giving the London team a 1-0 lead over Barcelona

Chelsea's No 22 is joined by his Chelsea team-mates by the corner flag after scoring the opening goal of the two-legged tie


The Argentine international was left with a simple finish after the Chelsea defence gave the ball away in a dangerous area
Chelsea players look on with dejected looks on their faces after conceding their one-goal advantage on Tuesday evening
Ter Stegen dives to his right in an attempt to save a shot from Willian, but is spared when it bounces off his goalpost

Barcelona star Messi raises his arms to the travelling fans after scoring the goal to bring his side back to level terms

Argentina international Messi shows his agility as he takes on Chelsea star N'Golo Kante (obscured) and Antonio Rudiger

Chelsea star Hazard attempts to break the deadlock with an ambitious volley but sees his shot fly over the crossbar

Chelsea defender Marcos Alonso attempts to break the deadlock with a curling free-kick, but fails to beat Ter Stegen

No comments:

Post a Comment