Klabu Simba inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 45, huku Yanga wakiwa na pointi 37, wakiwa wametofautiana pointi tano imebakiza michezo kadhaa mikubwa ambayo kama itafanya vizuri itakuwa katika nafasi nzuri na kubwa ya kutangazwa mabingwa wapya wa VPL msimu huu.
Machi 4,2018
Simba VS Stand United
Machi 8,2018
Mtibwa Sugar VS Simba
April 7.2018
Simba VS Yanga
April 12,2018
Simba VS Mbeya City
Msimamo wa Ligi VPL
No comments:
Post a Comment