Friday 13 April 2018

Dakika 90 za matokeo ya Arsenal na CSKA Moscow katika Europa Ligi.

Cech is at full stretch to his left to deny CSKA another goal as they went in search of a famous comeback against the Gunners
Arsenal ilitinga nusu fainali ya kombe la bara Yuropa kwa jumla ya mabao 6-3 dhidi ya CSKA Moscow licha ya sare ya 2-2 nchini Urusi.

Kikosi hicho cha Arsene Wenger kilikuwa nyuma 2-0 na chini ya presha wakati bao la Danny Welbeck la kipindi cha pili lilipowapatia ahueni.
Welbeck celebrates his goal 15 minutes from time which saved Arsenal's blushes and killed off CSKA Moscow's hopes
Wenyeji walioongoza kupitia Fedor Chalov na Kirill Nababkin walikaribia kuwashangaza Arsenal kwa jumla ya mabao na kuongoza kwa bao la ugenini huku Petr Cech akilazimika kuokoa mkwaju wa adhabu wa Aleksandr Golovin pamoja na mkwaju wa Sergei Ignashevich.
Ramsey goes through on goal but can't get his effort on target as Arsenal struggled to break down their Russian opponents
Arsenal ambayo inaongoza kwa mabao katika kinyang'anyiro hicho haikushambulia hata mara moja katika dakika 70 za mwanzo na Laurent Kolscieny alipoteza nafasi ya wazi kabla ya Welbeck kufunga.
Lacazette struggled to make an impact as the Frenchman was unable to leave his mark on the quarter-final second leg match
Bao la Aaron Ramsey kunako dakika za lala salama liliwavunja moyo CSKA na kuipatia fursa Arsenal kufuzu katika nusu fainali pamoja na Atletico Madrid, Marseille and Salzburg.

Haki miliki ya picha
Image captionRelated imageMohamed El-Neny alichaguliwa mchezaji bora katika mechi hiyo

Kikosi cha Viktor Goncharenko kilikuwa na ndoto ya kuwashangaza Arsenal wakati Chalov alipofunga bao la kwanza.
Lakini Arsenal iliompoteza Wilshere kupitia jeraha iliendelea kutawala mechi na kuonyesha mchezo mzurikabla ya kupata ushindi huo.
A supporter holds up a 'Wenger Out' banner at the VEB Stadium as the anti-manager sentiment makes it to the Russian capital
Baadhi ya mashabiki wa CSKA Moscow.

No comments:

Post a Comment